Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mabanda, Tanga

Maelezo
NYUMBA YA KISASA, VYUMBA-3 NA MABANDA YA KUKU,TSH 90 MIL, MBEZI-MSAKUZI.<br/><br/>Mjengo ni WA 'Contemporary',<br/>mara na la kuvutia. Pia kuna MABANDA ya kufugia <br/>Kuku (Kuku ELFU MOJA kwa wakati mmoja)<br/><br/>Nyumba Ina vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)<br/>Pia Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. <br/>Na pia ina Chumba kimoja cha nje,<br/>Store pamoja na Frem moja ya Biashara. <br/><br/>Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 900.<br/>Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. <br/><br/>__________________<br/><br/>ANGALIZO:<br/>Malipo ya Dalali ni 10%<br/>Kuona ni Tshs.50,000. <br/>(Unalipa wewe MNUNUZI)<br/><br/>Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. <br/><br/>+255 714 591 548<br/><br/>_________________mpg















