Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju-B/DARAJANI, Dar Es Salaam (650 sqm)


Bunju, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 35,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3,TZS.3,TZS.35 MILIONI, MINGOI.
Hapa ni BUNJU-B/DARAJANI
Njia ya kuelekea KIHARAKA/CHUO CHA KIJESHI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 650.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Mtaa umejengeka.
INAUZWA KWA DHARULA.
Wahi ukichelewa huikuti.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_________________mpg















