Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamaz, Mbagala, Dar Es Salaam (450 sqm)

Sh. 75,000,000

Maelezo

Mbagala chamaz dar es wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya Ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku Ukubwa wa eneo sqmt 450

Ina documents Safi za mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa boss wangu aipo mbali na bara bara kuu ya lami

Bei tsh mil 75 tu
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Man Chala Juma

dalali_rick_loss_mbagala_dar

@dalali_rick_loss_mbagala_dar

View Listings
Man Chala Juma