Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chidachi Ushuani, Dodoma (600 sqm)

Chidachi, Dodoma
11 hours ago
Sh. 55,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
🎙️ NYUMBA INAUZWA – CHIDACHI USHUANI, DODOMA! 🏡
Unatafuta nyumba nzuri kwa makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
📍 Ipo Chidachi Ushuani, Dodoma, kwenye eneo tulivu na salama.
🏠 Nyumba ina:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Dining
✅ Public Toilet
📐 Kiwanja kina ukubwa wa SQM 600, kikitoa nafasi ya kutosha kwa shughuli mbalimbali za familia.
💰 Bei ni TSh Milioni 55 tu!
Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba bora kwa bei nafuu.
📞 Wasiliana nasi sasa:
0787 037 986
0757 037 986
Bupalu Real Estate
Chaguo Sahihi kwa Mali na Uwekezaji.


