Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Gizozirolole, Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
850 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA KUBWA INAUZWA โ KIGAMBONI GIZOZIROLOLE ๐ฅ
๐ Eneo lipo Kigamboni Gizozirolole karibu kabisa na ofisi za Manispaa ya Kigamboni โ Makao Makuu ya Kigamboni, Dar es Salaam.
โจ Sifa za nyumba:
๐๏ธ Vyumba 3 vya kulala
๐๏ธ Sebule kubwa
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko
๐ Servant quarter yenye chumba, sebule na jiko
๐ Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 850
๐ Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
๐งฑ Kimezungushiwa fence tayari
๐ด Mtaa mzuri na mazingira ya kishua
๐ Umbali muhimu:
โด๏ธ Kilomita 12 mpaka Ferry
๐ Kilomita 11 mpaka Darajani
๐ฃ๏ธ Kilomita 1 tu mpaka barabara ya lami
โ
Eneo linafaa sana kwa wanaofanya kazi Posta, Kariakoo, Bandari, Makumbusho na maeneo ya katikati ya jiji kutokana na usafiri kuwa rahisi na wa haraka.
๐ฐ Bei: Milioni 185 tu
๐ค Bei ni negotiable kwa mnunuzi serious
๐ Service charge ya site visit: TZS 30,000
๐ Call/WhatsApp: +255746407197
๐ฒ Wahi sasa kupanga muda wa kwenda kukagua nyumba hii nzuri sana.
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni dar_es_salaam nyumbainauzwa fyp viral















