Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (460 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
460 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – GOBA NJIA NNE ✨
Unatafuta nyumba ya kisasa, tulivu na yenye hadhi? Hii hapa fursa yako!
📍 Ipo Goba Njia Nne, mita 400 tu kutoka barabara kuu
✨ Sifa za nyumba:
• Vyumba 3 vyote Master
• Sebule kubwa, dining na jiko la kisasa
• Full AC + Heater
• Boys Quarter (Underground)
• Eneo la kutosha kwa parking
• Plot size: Sqm 460
đź“„ Hati ya Wizara
đź’° Bei: Milioni 350 Tsh
📞0769-554-221
#trendingpage #istagram #realestateagent #trendingaudio #trendingnow















