Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 55,000,000

Maelezo

NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.

📍 Mahali: Kigamboni – Kibada Chekechea
📄 Documents: Sales Agreement

Sifa za Nyumba:

✅ Vyumba 3, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Ukubwa wa kiwanja: SQM 700
✅ Nyumba imekamilika kwa takribani 70%, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kuimalizia kwa mtindo anaoupenda.

Umbali:

📍 Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
📍 Kilometa 9 kutoka Ferry
📍 Kilometa 8 kutoka Daraja la Nyerere (Kigamboni)

💰 Bei: TZS Milioni 55 (Mazungumzo yapo)

📞 Wasiliana nasi:
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 600,000,000

For Sale5 beds5 baths800 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 65,000,000

For Sale3 beds1 bath300 sqmhouse
Dalali Kigamboni mbavu