Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Dar Es Salaam (700 sqm)

video thumbnail
Sh. 55,000,000

Maelezo

NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.

📍 Mahali: Kigamboni – Kibada Chekechea
📄 Documents: Sales Agreement

Sifa za Nyumba:

✅ Vyumba 3, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Ukubwa wa kiwanja: SQM 700
✅ Nyumba imekamilika kwa takribani 70%, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kuimalizia kwa mtindo anaoupenda.

Umbali:

📍 Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
📍 Kilometa 9 kutoka Ferry
📍 Kilometa 8 kutoka Daraja la Nyerere (Kigamboni)

💰 Bei: TZS Milioni 55 (Mazungumzo yapo)

📞 Wasiliana nasi: 0769 554 221
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Sh. 500,000,000

For Sale4 beds1,300 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale4 beds1,100 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale4 beds1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 170,000,000

For Sale4 beds3 baths800 sqmhouse