Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Chekechea, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA
Nyumba nzuri inauzwa katika eneo tulivu la Kibada Chekechea, Kigamboni. Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3 (viwili master)
* Sebule kubwa na eneo la dining
* Jiko la kisasa
* Eneo la kiwanja: SQM 1000
* Hati halali ya Wizara
* Umbali: mita 100 tu kutoka barabara kuu
Bei: TZS milioni 280
(Maongezi yapo)
Wasiliana sasa kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea nyumba.📞0769-554-222
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingaudio















