Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada, Kigamboni, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
150m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KIBADA, DAR ES SALAAM
β
Eneo: Sqm 600 (limepimwa na Halmashauri)
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Vyoo vya kisasa
β
Nyumba nzuri na imara, tayari kwa kuhamia
π Ipo mita 150 tu kutoka barabara ya lami.
π Takribani km 5 hadi Ferry na km 4.5 hadi Daraja la Nyerere.
π Eneo tulivu lenye huduma zote muhimu za kijamii.
π Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
π° Bei: TSh Milioni 140 (Mazungumzo yapo.)
π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba.
πΌ Service Charge: TSh 30,000
π² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment fyp















