Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Mwela, Kigamboni, Dar Es Salaam (600 sqm)



Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA KUBWA YA KIFAMILIA INAUZWA-KIGAMBONI KIBADA MWELA • Nyumba mpya kabisa-unanunua unaingia moja kwa moja (hakuna marekebisho) “ LOCATION: Kibada Mwela-Kigamboni Km3 kutoka Kibada Stendi/Roundabout Km1 kutoka barabara ya lami Mtaa mzuri, tulivu na salama Barabara zinapitika muda wote (kiangazi na mvua) # SIFA ZA NYUMBA: • Vyumba 3 vya kulala(1 Master) = Sebule kubwa • Dining area Jiko la kisasa *AC ipo • Umeme upo • Maji safi(bila chumvi) @ Finishing kali (aluminium, tiles, gypsum) KWA NJE: Kiwanja kikubwa-SQM 600 Kimezungushiwa fence Mazungira mazuri ya kuishi na familia 6 FAIDA YA UWEKEZAJI: Inaweza kupangishwa kuanzia Tsh 700,000+ kwa mwezi Sehemu tulivu sana-unaishi kwa amani na familia yako bila usumbufu wowote Majirani wazuri na eneo lina usalama DOCUMENT:Serikali ya mtaa BEI:MILIONI 125(ina nafasi ndogo ya maongezi) • Wahi mapema-deal nzuri kwa nyumba ya kiwango hiki!













