Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (500 sqm)

Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3,TZS.43 MILIONI,KIBAHA KWA MFIPA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
___________mpg















