Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani (1000 sqm)

video thumbnail
Sh. 40,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

1000 SQM

Barabara ya Karibu

4km — Barabara ya Morogoro

Huduma na Sifa

Hati
(Fence) Ukuta
Tiles
Makabati
Makabati ya Jiko
Stoo

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI,VYUMBA 3,TSHS.40 MILIONI,KIBAHA.

Nyumba ipo umbali wa kilomita 4 kutoka Barabara ya Morogoro.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,000
Umiliki ni HATI (Title Deed) ys Wizara.

Nyumba Imejengwa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.

Vilevile kuna Banda la vyumba 2 lakumalizia Ujenzi.

Ipo ndani ya Ukuta pande 3 bado kumalizia upande mmoja.

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________kvD