Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Center, Dar Es Salaam (1300 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MBILI ZINAUZWA – KIGAMBONI CENTER 🔥🏡.
💎 FURSA NZURI YA MAKAZI NA UWEKEZAJI!
Nyumba mbili zinauzwa pamoja katika eneo zuri la Kigamboni Center, zikiwa na nafasi nzuri kwa matumizi ya familia na uwekezaji.
✨ NYUMBA YA KWANZA:
🛏️ Vyumba 3, vyote Master
🛋️ Sebule
🍽️ Dining
🍳 Jiko
🚪 Ina geti lake binafsi
✨ NYUMBA YA PILI:
🛏️ Vyumba 2, vyote Master
🛋️ Sebule
🍽️ Dining
🍳 Jiko
🚪 Ina geti lake binafsi
🏗️ BONUS YA UWEKEZAJI:
Bado kuna eneo limebaki lenye geti lake binafsi, linalofaa kujenga Apartment na kuongeza chanzo cha mapato.
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 1300
📄 Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
💰 Bei: TSH MILIONI 300
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
📍 LOCATION: KIGAMBONI CENTER
🚗 Mita chache kutoka barabara ya lami
🚗 Km 10 kutoka Feri
🚗 Km 10 kutoka Kigamboni Darajani
🔥 Hii ni fursa ya kipekee kwa mtu anayehitaji nyumba mbili na bado apate nafasi ya kujenga apartment kwa ajili ya uwekezaji.
📞.
.















