Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (400 sqm)

Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI FANI CITY ๐ก
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni Fani City.
โ
Vyumba 3 vya kulala
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko
โ
Nyumba imekamilika kwa takribani 88%
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 400
๐ Nyaraka: Hati ya ya Serikali ya Mtaa
๐ Umbali:
โข Kilomita 1 kutoka barabara kuu ya lami
โข Kilomita 12 kutoka Ferry
โข Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: TSh Milioni 58
๐ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi makini.
Wahi sasa kabla haijachukuliwa!
๐ 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #trendingnow #tanzania๐น๐ฟ















