Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fanicity, Dar Es Salaam (400 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ BOMA LINauzwa β KIGAMBONI FANICITY π₯π‘
π FURSA NZURI YA KUMILIKI BOMA KATIKA ENEO ZURI!
Boma linauzwa Kigamboni β Fanicity, likiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira mazuri. Boma lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kulimalizia kwa mtindo anaoupenda.
β¨ SIFA ZA BOMA:
β
Vyumba 3
β
Chumba 1 Master
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
ποΈ Lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
π Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
π UMBALI:
π Kilomita 1 kutoka barabara
β΄οΈ Kilomita 12 kutoka Ferry
π Kilomita 11 kutoka Kigamboni Darajani
π° BEI: TZS MILIONI 25
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ FURSA YA KIPEKEE:
Unapata boma lenye vyumba 3 kwenye kiwanja cha SQM 400, kisha unalimalizia kwa design na finishing unayoipenda.
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















