Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIGAMBONI KIBADA (KISARAWE TU), DAR ES SALAAM π₯π‘
β¨ Nyumba kali sana kwa bei ya kutupa!
π Location: Kigamboni Kibada (Kisarawe tu)
π Ukubwa wa eneo: Sqm 700 (imepimwa, hati ya wizara)
π Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3 vya kulala ποΈ
* Sebule + Dining + Jiko π½οΈ
* Aluminium windows & doors
* Tiles & gypsum ya kisasa
* Paving yard yote
* Garden nzuri πΏ
* Electric fence + fence imara π
* Parking kubwa πππ
* Maji safi (hayana chumvi) π§
* Umeme upo tayari β‘
* Nyumba imekamilika 100%
π° BEI: Milioni 130 TU (maongezi yapo kwa mwenye nia ya kweli)
β‘ Hii ni deal ya haraka sana β wahi kabla haijaondoka!
π Call/WhatsApp: +255746407197
π΅ Service Charge: TZS 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam nyumbazakuuza kigamboni dar_es_salaam π₯















