Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kibada Mwela, Dar Es Salaam (500 sqm)



Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA MWELA Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa, ipo eneo tulivu na lenye maendeleo mazuri. ✨ Maelezo ya Nyumba: * Vyumba 3 (2 Master) * Sebule kubwa * Dining * Jiko la kisasa 📐 Ukubwa wa Kiwanja: * SQM 500 📄 Umiliki: * Full Title Deed (Hati halali kabisa) 💰 Bei: * Milioni 130 (Mazungumzo yapo) 🌟 Sifa za Ziada: * Kisima cha maji (hakuna shida ya maji) * Nyumba tayari kwa kuhamia * Full paving (mazingira nadhifu) * Service charge: 30,000 📞0769-552-221 #trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingsongs













