Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kibugumo, Dar Es Salaam (880 sqm)

video thumbnail
Sh. 88,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBUGUMO

πŸ”₯ FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI! πŸ”₯

Nyumba inauzwa katika eneo la Kigamboni – Kibugumo, eneo tulivu na zuri kwa makazi pamoja na uwekezaji wa nyumba za kupangisha.

✨ SIFA ZA NYUMBA:
βœ… Vyumba 3
βœ… Vyumba 2 ni Master
βœ… Sebule
βœ… Jiko
πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 880
πŸ“„ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Takribani km 3 kutoka Baba Alami
πŸ“Œ Km 8 kutoka Ferry
πŸ“Œ Km 9 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 88
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ FURSA YA UWEKEZAJI
Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia au kwa mwekezaji anayelenga nyumba za kupangisha na kupata kipato cha kila mwezi.

πŸ“ž WASILIANA NASI: 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam