Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kibugumo, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ UNFINISHED HOUSE INAUZWA β KIGAMBONI KIBUGUMO, DAR ES SALAAM π₯
Fursa ya kipekee kwa wanaotamani kuishi mjini katika mazingira mazuri na ya kisasa!
Leo nakuletea nyumba bora yenye ubora wa hali ya juu, iliyojengwa kwa viwango vizuri na imebaki hatua chache tu kukamilika.
β
Bei: TSh 85,000,000 (Mazungumzo yapo)
β
Mita 400 tu kutoka barabara ya lami
β
Ipo Kigamboni, Kibugumo β Mji wa Mapaa
β
Eneo zuri, salama na linalokua kwa kasi
Sifa za nyumba:
π Vyumba 3 vya kulala
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko
π‘ Servant Quarter
π Parking ya magari hadi 3
ποΈ Bati tayari limefungwa
πΏ Plumbing imekamilika
β¨ Imejengwa kwa standard ya kisasa na imebaki hatua chache tu kukamilika.
Hii ni nyumba inayofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wenye thamani kubwa siku zijazo.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii kabla haijachukuliwa na mwingine!
Service Charge: TSh 30,000
Donβt miss this opportunity! Your dream home is waiting for you. π
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















