Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisarawe II, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA KUBWA INAUZWA KWA BEI YA KUTUPA β KIGAMBONI KISARAWE II, DAR ES SALAAM π₯
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye eneo zuri? Hii ndiyo fursa yako!
β
Bei: TSh 85,000,000 tu (Mazungumzo yapo)
β
Ipo Kigamboni, Kisarawe II
β
Mtaa mzuri, salama na wenye maendeleo
Sifa za nyumba:
π Vyumba 3 vya kulala
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko lenye pantry na rafu
πΏ Choo na bafu vya kisasa
π Parking kubwa yenye nafasi ya magari kadhaa
π³ Eneo la kutosha kwa shughuli mbalimbali
π§± Fence tayari imejengwa
β¨ Madirisha ya aluminium
π¨ Imebaki kazi chache sana za ukamilishaji
Nyumba imejengwa kwa viwango vizuri na ni chaguo bora kwa makazi ya familia au uwekezaji wa muda mrefu.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii kabla haijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















