Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara Golani, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIMARA GOLANI
π° Bei: Milioni 50 tu
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa Kimara Golani, eneo tulivu na lenye huduma zote muhimu.
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
β
Sebule kubwa na Dining
β
Jikoni pamoja na Store
β
Choo cha wageni (Public Toilet)
β
Kisima cha maji
β
Umeme na maji vinapatikana
π Ukubwa wa eneo: Sqm 500
π Ipo takriban Kilometa 1 kutoka Kimara Mwisho. Barabara ni nzuri, pikipiki na magari yanafika hadi nyumbani bila shida.
π Inafaa kwa makazi ya familia na uwekezaji wa muda mrefu.
Service Charge / Gharama ya Huduma: Tsh 30,000/=
π Muhitaji piga: +255 688 412 890
Karibu uone nyumba na ufanye maamuzi sahihi ya kuwa na makazi yako mwenyewe. ππ‘















