Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Mwangolandege, Dar Es Salaam







Huduma na Sifa
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA MPYA INAUZWA β KINYEREZI MONGOLANDEGE β¨π‘<br/><br/>Nyumba mpya kabisa yenye finishing ya kisasa na ubora wa hali ya juu, ipo eneo tulivu, salama na linalofikika kirahisi π₯ <br/>βοΈ Karibu na uwanja wa ndege, hivyo ni location nzuri sana kwa makazi na uwekezaji.<br/><br/>β Vyumba 3 vya kulala (1 Master) <br/>β Sebule kubwa ya kisasa <br/>β Jiko la kisasa lenye makabati <br/>β A/C na mafeni sebule na vyumbani <br/>β Water heater <br/>β Maji ya kisima + motor <br/>β Taa za ndani na nje za kisasa <br/>β Ipo ndani ya fensi <br/><br/>π Location: Kinyerezi Mwangolandege <br/>π° Bei: TSh 250 Milioni (maongezi yapo) <br/>π΅ Service charge: TSh 30,000/= <br/><br/>π€ Karibu mnunuzi wa kweli tufanye biashara <br/>π +255 688 412 890 <br/><br/>π‘β¨ Dalali wako Wakishua















