Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (800 sqm)

Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KISOTA ๐ก
Unatafuta nyumba nzuri ya kuhamia au uwekezaji? Hii hapa fursa yako!
โ
Vyumba 3 vya kulala
โ
Vyumba 2 ni Master
โ
Sebule kubwa na sehemu ya dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Plot kubwa yenye ukubwa wa SQM 800
โ
Hati Halali ya Wizara (Title Deed)
๐ Mahali: Kigamboni โ Kisota
๐ฐ Bei: Milioni 200
๐ค Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati
Karibu sana kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kutembelea nyumba. Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni! ๐ โจ
๐ 0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingaudio















