Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kitonga, Ilala, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Maelezo
🏡 NYUMBA KUBWA YA KISASA INAUZWA – KITONGA, ILALA, DAR ES SALAAM 🏡
💰 Bei: Milioni 79 (Mazungumzo yapo)
Unatafuta nyumba kubwa yenye eneo la kutosha kwa familia au uwekezaji? Hii ni fursa nzuri usiyoipaswa kuikosa!
✨ Sifa za Nyumba: ✅ Vyumba 3 vya kulala ✅ Master Bedroom 2 ✅ Sitting Room kubwa ✅ Dining Room ✅ Jiko la kisasa ✅ Store ✅ Nyumba imekamilika kwa asilimia 90% ✅ Ukubwa wa eneo: Square Meter 2,500 ✅ Mazingira mazuri na salama
📍 Mahali: Kitonga, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
🔥 Bei ni Milioni 79 tu, mazungumzo yapo!
Usisubiri hadi fursa hii ikupite. Wahi mapema kabla haijachukuliwa na mwingine.
📞 Kwa maelekezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi! 🏡🔑










