Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
IMEPUNGUZWA BEI, SASA TSHS.150 MIL. TU, MADALE. Nyumba nzuri ya kisasa,-YAKUHAMIA. Vyumbac3 ( 2 Vyoo ndani), Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani. Ipo jirani na Barabara ya Lami. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400 WAHI, USIFANYE AJIZI. ___________________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) +255 714 591 548 ___________________jj















