Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Flamingo, Dar Es Salaam
ID: 260819SKXYRHuduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ HOUSE FOR SALE | MADALE FLAMINGO ๐ฅ
Kama unatafuta nyumba iliyonyooka, ya kisasa na yenye muonekano wa kibabe, hii hapa imeingia sokoni! Ipo kwenye mtaa mzuri na tulivu sana.
๐ฅ PRICE DROP! BEI IMEPUNGUA! ๐ฅ
๐ฐ Bei ya Mwanzo: TSh 380,000,000/=
๐ฐ Bei ya Sasa: TSh 350,000,000/= (Fixed Price / Bei ya Mwisho kabisa)
๐ LOCATION: Madale Flamingo
๐ UMBALI:
* Mita 50 tu kutoka barabara ya lami ya mtaani.
* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami (ya kuelekea goba tegeta nyuki).
โจ SIFA NA MPANGILIO WA NYUMBA:
* ๐ Vyumba 3 vya Kulala: Vyumba 2 vyote ni Master Bedrooms za kishua.
* ๐ Walk-in Closet: Chumba cha Master kina makabati ya gharama yaliyozunguka eneo lote la closet.
* ๐ Sebule Kubwa & Dining Area: Na decoration ya ndani iliyonyooka na ya kisasa.
* ๐ฝ Jiko Kubwa: Limesukwa na makabati ya kisasa kabisa ya gharama kubwa.
* ๐ Public Toilet: Choo cha familia/wageni cha kueleweka.
* ๐งฑ Nyumba imesimama, imepangiliwa vizuri na haina gharama yoyote ya ziada ya ukarabati.
โ
๐ฒ MAWASILIANO NA INSPECTION:
Piga / WhatsApp:
Follow: @dalaliwakimataifa
๐ Wahi sasa bei imeshuka sana, njoo ukague mradi mwenyewe!
#NyumbaInauzwa #NyumbaInauzwaMadale #NyumbaInauzwaDar #NyumbaInauzwaGoba #NyumbaInauzwaMbeziBeach RealEstateTanzania DalaliWaKimataifa DalaliMadale DalaliGoba DalaliMbeziBeach DalaliMasaki DalaliMsasani NyumbaZaKishua NyumbaZaKisasa Madale MadaleFlamingo Goba MbeziBeach Masaki Msasani Kijitonyama Mikocheni Kinyerezi Bunju TanzaniaRealEstate NyumbaTanzania BongoProperties InvestInTanzania PlotInauzwa NyumbaNaKiwanja















