Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam (450 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
450 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Maelezo
Miliioni 80 ipo mbagala chamaz mikumi jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya<br/><br/>Bei milioni 80,000,000/= milioni <br/><br/>0759128747 0624436503<br/><br/> Ina vyumba 3 vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom sittingroom diningroom jiko store publick toilet ina maji umeme fence nk <br/><br/>Eneo sqmt 450 umbali kutoka main road mita 100<br/><br/>Wote mnakaribishwa















