Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa mbagala chamazi, Dar Es Salaam (600 sqm)







Maelezo
Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi
bei Tsh million 120,000,000 /= milioni
Kimbia chap 🏃♀️ 🏃♀️
0759128747 0624436503
Ina vyumba Vi3 vya kulala kimoja ni master bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toylety umeme maji nk
📁 document za advocate eneo sqm 600
✍️ mwenyewe Ana shida ina shuka bei njoo ukague chap 🏃♀️ 🏃♀️
NB : UKIIPENDA NYUMBA PIGA SIMU UKITUMA SMS MESSENGER UTACHELEWA KUJIBIWA 🙏















