Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA YA KISASA INAUZWA ā MBEI NI MILIONI 33 TU! š”
Unamaliziwa kila kitu kwa makubaliano na mwenye nyumba.
š Mahali: Mbagala Chamazi Kwa Mkongo
š£ļø Dakika 3 tu kutoka barabara kuu ya lami.
Sifa za nyumba:
ā
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
ā
Sitting Room
ā
Dining Room
ā
Jiko
ā
Maji yanapatikana
ā
Nyumba ya kisasa yenye mazingira mazuri
Hii ni fursa nzuri ya kupata nyumba bora kwa bei nafuu.
š Njoo site, tazama mwenyewe, ukague na ulipie!
Kwa maelezo zaidi, piga simu: 0683 665504















