Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β MBEI NI MILIONI 33 TU! π‘
Unamaliziwa kila kitu kwa makubaliano na mwenye nyumba.
π Mahali: Mbagala Chamazi Kwa Mkongo
π£οΈ Dakika 3 tu kutoka barabara kuu ya lami.
Sifa za nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
β
Sitting Room
β
Dining Room
β
Jiko
β
Maji yanapatikana
β
Nyumba ya kisasa yenye mazingira mazuri
Hii ni fursa nzuri ya kupata nyumba bora kwa bei nafuu.
π Njoo site, tazama mwenyewe, ukague na ulipie!
Kwa maelezo zaidi, piga simu: 0683 665504















