Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam (750 sqm)


Maelezo
Nyumba Inauzwa,
Ipo Mbezi beach Makonde
Ukubwa wa Kiwanja sqm 750.
Bei Millioni 120
Ina Vyumba 3 vya Kulala, Kimoja ni Master,Sebule, Dining, Kitchen.
Nyumba ina HATI
Wasiliana nami kwa
0718 809 744
0784234971
Service Charge 20,000















