Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam

Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā MBEZI BEACH (MAKONDE JUU)
Inauzwa nyumba nzuri ipo Mbezi Beach Makonde, upande wa juu.
š° Bei: TZS Milioni 135 (maongezi yapo)
š¹ Sifa za nyumba kubwa:
Vyumba 3 vya kulala
Sebule
Jiko
Dining
š¹ Nyumba ya pembeni (inapangishwa):
Chumba, sebule na jiko
š Nyumba zote tayari zina wapangaji:
Kodi ya nyumba kubwa: TZS 600,000
Kodi ya nyumba ndogo: TZS 250,000
š Gari yoyote inafika hadi nyumbani
š Wasiliana: 0692 181 138















