Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Kwa-Msuguri, Dar Es Salaam (500 sqm)

Sh. 135,000,000

Maelezo

NYUMBA MPYA, VYUMBA 3,TZS.135 MILIONI,
MBEZI KWA-MSUGURI.

Unaweza kingilia MALAMBAMAWILI PIA.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Ni nyumba ya kisasa.
Vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule,Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Parking yakutosha yenye Paving,
Na pia jna Tanks za Maji ya akiba.

WAHI.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

.

_________________alMx

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

General BROKER (*DALALI*)