Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 160,000,000

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Dining
Jiko
Sebule
Mpya

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA MPYA INAUZWA โ€“ KIGAMBONI MJIMWEMA

Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo katika eneo zuri kwa makazi au biashara? Hii ni fursa yako!

โœจ Sifa za Nyumba:
โœ… Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
โœ… Sebule kubwa
โœ… Dining
โœ… Jiko la kisasa
โœ… Ipo katika hatua ya finishing na utakabidhiwa ikiwa imekamilika kabisa
โœ… Eneo la kiwanja: SQM 400
โœ… Inagusa barabara ya mtaa โ€“ inafaa kwa makazi na biashara
โœ… Mazingira mazuri, salama na mtaa uliopangwa vizuri

๐Ÿ“ Umbali:

* Mita chache kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 160
๐Ÿค Mazungumzo yapo.

๐Ÿ“ž 0769554221
๐Ÿ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Mjimwema, Dar Es Salaam