Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Muongozo, Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

video thumbnail
Sh. 249,000,000

Huduma na Sifa

Maelezo

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONIMUONGOZO 🏡

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba ya kifahari katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi!

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Servant Quarter yenye vyumba 2, sebule na jiko
* Full AC
* Electric Fence
* Garden nzuri
* Full Paving

📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 1,200
📜 Hati ya Wizara (Title Deed)

📍 Mahali:

* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry
* Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere

💰 Bei: TZS Milioni 249 (Mazungumzo kidogo yapo.)

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba bora yenye mazingira mazuri, usalama wa hali ya juu na miundombinu mizuri.

📞 0769554221
📍ServiceCharge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni – Dege, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale4 beds3 baths1,500 sqmhouse