Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu Kona, Dar Es Salaam (400 sqm)

Maelezo
NYUMBA MPYA, VYUMBA 3,TZS.55 MILIONI,
PUGU- KONA.
Hapa ni mita chache yu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Nyuma kuna nyumba ndogo yenye Vyumba 2 vya kulala.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
WAGI.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________tP















