Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
800 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA – TABATA KINYEREZI MWISHO, DAR ES SALAAM 📍
💰 BEI: MILIONI 140 (MAONGEZI YAPO)
📌 Service Charge: 30,000/=
📍 Location: Tabata Kinyerezi Mwisho
🛣️ Dakika 4 tu kutoka main road
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
📄 Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi (Full Title Deed)
⸻
✨ SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛌 1 Master Bedroom
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dinning Room
🍳 Jiko safi
🗄️ Store 2
🚿 Public Toilet 1
🏘️ Boy’s Quarter (Chumba na Sebule)
🧱 Fence imezunguka
🚗 Paving Block ndani ya compound
⸻
🏡 Nyumba ni mpya, ya kisasa na ipo kwenye mazingira tulivu, inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
MUHITAJI PIGA +255688412890.
Service charge 30,000/=.
Karibu sana ndugu mteja tufanye biashara 🤝
Dalali wako Wakishua 💼🔥




















