Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
MUHITAJI AKIJA ATAONA MBAKA NDANI.
NYUMBA INAUZWA ā TABATA SEGEREA š”
Nyumba nzuri inauzwa eneo la Tabata Segerea, ipo kwenye mazingira tulivu na yanafikika kwa urahisi.
š Maelezo ya nyumba kuu:
* Vyumba 3 (kimoja master)
* Sebule
* Dining
* Jiko
* Choo cha public
š” Nyumba ya nje (self-contained):
* Ina master na jiko
* Inapangishwa kwa TSH 200,000 kwa mwezi š°
š§ Maji ya DAWASCO pamoja na kisima yapo
š Takriban dakika 10 kutoka kituoni
āļø Barabara nzuri, panafika bila shida
āļø Huduma zote za kijamii zinapatikana karibu
šø Bei: TSH 90,000,000 (mazungumzo yapo)
š¼ Service charge: TSH 30,000
š Nunua ukae na familia yako au uwekeze kwa kupangisha na uendelee kuingiza kipato kila mwezi.















