Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tegeta Kwa-Ndevu, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.70 MILIONI,TEGETA KWA-NDEVU. Ipo mita chache toka Barabara ya Lami/Bagamoyo rd. Gari inafika. Ni YAKIZAMANI. Unaweza Kuiboresha au kuweka Apartments za kisasa. Wekeza hapa hutajutia. _______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _____________Htgt















