Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tegeta Namanga, Dar Es Salaam (430 sqm)







Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
430 SQM
Barabara ya Karibu
800m — Bagamoyo Road
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba NZURI SANA KISASA inauzwa 160mlTsh MAONGEZI YAPO. Ipo TEGETA NAMANGA-DSM.
1. Ina vyumba 3(1)master, lounge, dining, kitchen, store & public toilet.
2. Plot size ni 430 meter square.
3. Hati ni kutoka Wizara ya Ardhi (TITLE DEED).
4. Maji safi dawasco na umeme vyote vipo.
5. Ipo mtaa mzuri sana wa kishua uliojengeka na kupangika vyema (with good neighbourhood).
6. Full fenced, tiles, gypsum, paving blocks & aluminium windows.
7. Barabara safi ipo gari hadi ndani ya fence.
8. Ipo mita 800 kutoka barabara kuu ya Bagamoyo Road.















