Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 450,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA STOP OVER DK 10
KUTEMBEA KWA MIGUU PIKIPIKI ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA ELFU 20
UKIIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA

SIFA YA NYUMBA
__________________

hii nyumba ina vyumba vitatu vya kulala chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa sana na dnning room kubwa Jiko zuri ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri kwenye fensi kunanyumba nyingine kama mbili tuu
Ni apartment
Hii nyumba ina Mazingira mazuri sana
Piya ina fikika vizuri sanaa

KODI YA PANGO
_________________

kwa mwezi ni laki nne na nusu tuu/=

(450,000)

X 6

CALL
###0688617926
###0655256419