Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba vinne inauzwa Kisota Ushuani, Dar Es Salaam (1000 sqm)

video thumbnail
Sh. 380,000,000

Aina

Apartment

Vyumba

4

Ukubwa

1000 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

🏢 APARTMENT ZA KISASA ZINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA USHUANI

Zinauzwa apartment mbili za kisasa, zenye muundo mzuri na ziko katika eneo tulivu na lenye maendeleo.

🔹 Sifa za nyumba:

* Vyumba 4 vya kulala
* Sebule kubwa
* Dining (eneo la kulia chakula)
* Jiko la kisasa

🔹 Eneo:

* Ukubwa wa eneo: SQM 1000
* Zipo Kisota Ushuani, Kigamboni
* Zimegusa barabara mpya ya lami

🔹 Nyaraka:

* Hati halali

💰 Bei: Tsh Milioni 380
🤝 Maongezi yapo
📞0769-554-221
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingnow