Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Ubungo Riverside, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Bafu

2

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Maji
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tanki la Maji
Uzio

Maelezo

🏡House For Rent #APARTMENT
Zipo 3 Kwenye Fence ~ Zipo Mbali Mbali

Location: UBUNGO RIVERSIDE
Distance: Dakika 4 Kutoka Stand

PRICE: 800,000 × 6
Maongezi Yapo 🤝

✍️Sebule Kubwa Sana
✍️Vyumba V4 Vikubwa
✍️Chumba Kimoja Master
✍️Jiko Kubwa Zuri
✍️Public Toilet Inside 🚻

✍️Full A/c
✍️Umeme Na Maji Meter Yako
✍️Yanaflow Jikoni Na Vyooni 24HRS
✍️Reserve TANKS
✍️Fenced &Parking Yakutosha 🚘
✍️Uwanja Wa Basket Ball
✍️Garden Nzuri
✍️Good Environment 💥

Kwahiyo Matumizi Ya Ofisi 1,200,000

NB: Mwenye Nyumba Ndiyo ANAHAMA
Mwisho Wa Mwezi Huu Ndiyo ANATOKA
Unaruhusiwa Kuona Nyumba Na Kulipia RUKSA 👍

Service Charge 20,000
1 Month Agent Commission

Normal Calls: 0688 067 289
0714 418 005 WhatsApp