Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

JUMBA LENYE HATI,VYUMBA 4,TSHS.150 MILIONI MBEZI-MAKABE.

Nyumba ni kubwa na ina nafasi ndani na nje pia.

Ipo MAKABE-KANISANI,
Mita 100 tu kutoka Barabara inayoelekea MSUMI.

Vyumba vya kulala 4 (2 Vyoo ndani)
Pia kuna Servant's Quarter yenye
Vyumba 2 vya kulala.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 860.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

INAFAA SANA FAMILA INAYOHUTAJI UTULIVU.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________mpg

Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.