Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Buswelu, Mwanza (1200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA BUSWELU
-ina vyumba vinne vya kulala (vitatu ni self contained), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni 40x30=1,200sqm
-ina hati miliki ya wizara
-bei Tsh Milioni 95
☎️ 0743220097















