Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Fun-City, Kigamboni, Dar Es Salaam

Maelezo
NYUMBA YENYE HATI,VYUMBA 4,TSHS.90 MILIONI,FUN-CITY,KIGAMBONI.
Nzuri yenye nafasi na ambayo ipo ndani ya Fensi.
Ipo umbali wa kilomita 15 kutoka FERI YA PANTONI.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000 .
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________ryt















