Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 550,000,000

Maelezo

✨Nyumba mpya kali sana ipo mtaa mzuri sana inauzwa Ina eneo kubwa

✨Ina pagola, gardens, cctvs cameras, remote gate, fensi ya umeme na parking kubwa

✨Ina vyumba vinne vikubwa vyote masterbedrooms, sebule kubwa, dinning na jiko kubwa lakisasa

✨Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1,200

✨Bei: million 550 (maongezi yapo)

✨Location: GOBA CENTER

✨Documents: HATI MILIKI

✨Umiliki : Mmoja

🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall

🙏🏽karibu kwa mawasiliano zaidi tupigie:

Dalali wa Makongo,sinza, Ubungo,mikochen,mbez beach,Goba,Mbweni

abbymajumba_tz

@abbymajumba_tz

View Listings

Matangazo mengine Goba, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam

Sh. 180,000,000

For Salehouse
Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)

Sh. 850,000,000

For Sale5 beds5 baths1,700 sqmhouse
Dalali wa Makongo,sinza, Ubungo,mikochen,mbez beach,Goba,Mbweni