Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (436 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
436 SQM
Barabara ya Karibu
800m
Maelezo
NYUMBA NZURI INAUZWA (MIL 190) GOBA KULANGWA (Half London St)
Mawasiliano: 0782117054-0718802350
Ina Vyumba Vinne (4) Kati Ya Ivyo Vwil Ni Self Contained,Dinning,Sitting,Kitchen&Public Toilet
Umiliki: Hati Miliki (TITLE DEED)
Ukubwa Wa Eneo: SQM 436
Umbali: Meter 800 Tu Kutoka Barabara kuu Ya Lami
Maji Safi Na Umeme Vyote Vipo Ndani Ya Nyumba
Nyumba Iko Mtaa Mzuri Sana Umejengeka Kwa Mpangilio
Bei : 190 Million (Maongezi Yapo)
Gharama Za Kwenda Site Ni Tshs 30,000/=
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#tanzania #realestate #realestatetanzania #fypageシ















