Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Kwa Awadhi, Ubungo, Dar Es Salaam (800 sqm)









Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Awali
Inaruhusiwa
Maelezo
Nyumba mpya kubwa ya kisasa inauzwa
Ipo 📍 Dar es salaam, Ubungo. GOBA KWA AWADHI.
▪︎ Nyumba ina vyumba vinne (4) vikubwa vyenye makabati ya nguo (vyote ni master bedroom)🔥
▪︎ Nyumba ipo mtaa mzuri na salama
▪︎ Inafikika vizuri sana kwa gari, barabara zipo vizuri. Gari ya chini inafika vizuri.
▪︎ ENEO SQM 800
▪︎ BEI: TZS 520 Million (Maongezi yapo)
▪︎ Malipo kwa awamu ✅️
▪︎ Full documents: HATI MILIKI ✅️
Tupigie: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















