Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada Block 21, Kigamboni, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก๐ฅ NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI โ KIBADA BLOCK 21 ๐ฅ๐ก
๐ Eneo la Kishua Sana, Kibada Block 21, Kigamboni โ Dar es Salaam
โ
Nyumba ipo nyumba 4 tu kutoka barabara ya lami
โ
Mita 200 tu mpaka barabara kuu ya lami
โ
Eneo limeendelea sana na lina mazingira mazuri ya kuishi
โ
Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 700
โ
Kimepimwa na kina Hati Safi ya Wizara ya Ardhi
๐ Nyumba ina:
โ๏ธ Vyumba 4 vya kulala
โ๏ธ Sebule kubwa
โ๏ธ Dining
โ๏ธ Jiko la kisasa
๐จ Ujenzi umefikia takribani asilimia 70 ya ukamilishaji
๐จ Imebaki finishing ndogo tu
๐จ Muundo wa kisasa na wa kuvutia sana
๐ฐ Bei: TZS Milioni 180 Tu (Mazungumzo Yapoo)
โ ๏ธ Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit
๐ Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidarEsSalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni kibada houseforsale propertyinvestment realestatetanzania v















